Natafuta kijana , hasa mwanamme, awe na umri wa kati ya miaka 20-30 hivi, Form Six au aliye na Diploma ya profession yoyote ili ni nimpe kazi ya umeneja. Kijana awe na reference nzuri ya watu wanajulikana, mwelevu wa mambo na aliye mbunifu wa mambo kwani atakuwa na kazi kubwa kidogo ya kubuni mambo (self initiatives). Kujua kiingereza cha kusoma na kuzungumza ni lazima. Interview ya kwanza itafanyika kwa simu kwa lugha ya Kiingereza. Awe anaijua computer applications vizuri, MS Word, Excel Power point na internet. Ninataka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza mikate hapo Dar. Mitambo yote imeshafika toka Canada. Kazi yake ya kwanza itakuwa kufanya survey kuona kama biashara ya mikate hapo Dar inaweza kulipa. Anaweza kupanua wigo mpaka Morogoro, au hata Iringa akaona kama kuna biashara huko. Baada ya kujua ni wapi tutafungua biashara yetu basi atatafuta jengo (Vyumba viwili vya kazi na ofisi yake kwa bei labda ya Tshs 400,000.00 kwa mwezi kama rent) Akikamilisha hilo, basi tutafanya equipment installation, business registration, food and sanitory clearance na akishirikiana na mimi tutajiri vijanawengine kama watano hivi kuendesha production. Malipo yake kwa mwezi yataendana na production ya kiwanda chetu lakini hayatapungua Tshs laki tano kwa mwezi. Mbali na mshahara atapewaa gari lake (saloon car) kwa ajili ya kazi.
Akifanikisha hili, nitampa kazi nyingine ya kufungua stationery store (computer sales, internet, photocopying, picture taking, air ticketing, lamination, binding na vitu vya namna hiyo. Mashine za kazi hii ziko Dar tayari. Yeye atatafuta ofisi hapo mjini, maeneo yaliyo karibu na vyuo, au TRA ambako shughuli za namna hii zinahitajika. Akiiweza kazi hii basi nitampa kazi nyingine ambayo ni ya kufuata stationery equipment nje ya nchi kunakopatikana hivi vitu.
Haya kazi kwenu vijana. Kama unadhani unaweza kufanya kazi hii basi andika e-mail kabla ya march 15, 2013 na attachment kwa lugha ya unayoiona inafaa utueleze kwa nini wewe unaweza kuifanya hii kazi vizuri zaidi kuliko wengine na utahakikisha vipi biashara ya bakery, stationery na kisha airline ticketing inaweza kushamiri eneo unaloliona linafaa kuanzisha biashara hiyo. E-Mail yetu ni: pacificamarine@yahoo.com
Akifanikisha hili, nitampa kazi nyingine ya kufungua stationery store (computer sales, internet, photocopying, picture taking, air ticketing, lamination, binding na vitu vya namna hiyo. Mashine za kazi hii ziko Dar tayari. Yeye atatafuta ofisi hapo mjini, maeneo yaliyo karibu na vyuo, au TRA ambako shughuli za namna hii zinahitajika. Akiiweza kazi hii basi nitampa kazi nyingine ambayo ni ya kufuata stationery equipment nje ya nchi kunakopatikana hivi vitu.
Haya kazi kwenu vijana. Kama unadhani unaweza kufanya kazi hii basi andika e-mail kabla ya march 15, 2013 na attachment kwa lugha ya unayoiona inafaa utueleze kwa nini wewe unaweza kuifanya hii kazi vizuri zaidi kuliko wengine na utahakikisha vipi biashara ya bakery, stationery na kisha airline ticketing inaweza kushamiri eneo unaloliona linafaa kuanzisha biashara hiyo. E-Mail yetu ni: pacificamarine@yahoo.com