pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 883
Nikitu kisicho cha kawaida ila ni kisa kilichomtokea rafiki yangu baada ya kugundua kwamba anae mnengulia na kumpagawisha ni baba yake wa kumzaa story iko ivi huyu rafiki yangu tangu kuzaliwa kwake hajawai kumjua baba yake mzazi kila alipojaribu kumuuliza mama yake alimjibu kuwa baba yako alikukataa tangu ukiwa tumboni kwahiyo sijahangaika kumtafuta wala sijui alipo kama yupo hajui kama yu hai au kafa basi shost akawa kashazoea ile hali ya kulelewa na mzazi mmoja.. basi bwana siku ya siku tukiwa mwaka wa mwisho chuoni shoga akaniambia leo nataka tutoke ukamuone shemeji yako bila hiyana nikakubali maana ilikuwa wikend chuo kuna boa basi mida ya saa moja tukawa tumeshajiandaa tayari kwa mtoko shost akapiga cm kwa dreva tax wake akaja kutuchukua basi tukaenda mpaka eneo husika nikatambulishwa kwa shemeji basi tukala tukafurahi siku ikapika.. shoga yangu akawa kila wakitoka anapewa zawadi mara laptop, pesa mpaka gari alimnunulia na nyumba akampangia kabisa akawa kama mke mdogo maana huyo baba tayari alikuwa na familia yake mke na watoto kwahiyo shost akawa kama kimada.. waliendelea na uhusiano huo kwa miaka miwili sasa baada ya kumaliza chuo alimtafutia na kazi kabisa so ikabidi amwambie mama yake kwamba amepata kazi kwahiyo atakuwa anakuja mara mojamoja kumsalimia mama alikuwa dsm yeye akawa morogoro....basi mwaka mmoja mbele yule shoga akapata ujauzito akamjulisha mama yake mama yake akamwambia ni jambo la heri akamuuliza je muhusika ni nani? akamwambia wala usijali mama wiki ijayo nitakuja nae dsm ili upate kumjua mkweo mama alifurahi sana basi siku ya siku ikafika mama akaita ndugu jamaa na marafik ili wajumuike kwenye sherehe ya utambulisho ebwanaa hapa ndo kasheshe lilipoanza shost kafika anamngoja muhusika aje ikabidi ampigie cm akamwambia nipo njiani alipofika wazee wakaenda kumpokea kwa ukarimu wakampeleka sehemu husika sasa mama mtu kuja kumuona akamgeukia mwanae akamwambia huyu ndo mwenye mimba au ? akamjibu ndio mama huyo ndo mkweo mama akapiga ukunga akazimia palepale kuja kuzinduka anajikuta hosp...