Hodi wadau wote!,
Hope yote ni wazima wa afya njema.
Mie ni mgeni kwenye kupost mada, hii ni mada yangu ya kwanza kuipost, Mara zote huwa napitia tu posts za wenzangu.
Ninashida na TV yangu aina ya LG model yake ni LG42LH2000, Situmii Satelite Dish wala decoder ya namna yeyote, natumia Antena ya kawaida (Miba ya samaki). So TV yenyewe ni HDTV yenye uwezo wa kupata digital television (DTV's) broadcasting hizi ni tofauti na zilizozoeleka yani Analog, hizo Digital TV's zina Display majina ya channels saved By broadcasters.
Tatizo linakuja hivi, Tv inanionyesha majina ya channels kama ALJAZEERA,EMANNUEL TV,DW,SMILE CHILD,LOVE TV,CHURCH TV, nazingine za kibongo ambazo ni Digital TVs ambazo zote hazina shida.
Shida sasa inakuja kwa baadhi ya digital TV's kama KBC,MTV,BET,TBC2,BBC,CCTV1-CCTV4, Hizi sasa pamoja na nyingine niki select zina kataa na tv inaniambia "NO CI Module" Sasa swali lina kuja hivi, Hiyo CI Device ndo nini?
Pia, Je! Ukiwa nayo utaweza kuziona hizo channels zote? na Malipo je?
Mwenye msaada Plz naomba anisaidie!
Thanks,
xxxxx