Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,691
Wakuu,
Nikadhani zoezi la wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura lilikuwa limeshaisha.
Naona leo RC kajitokeza kuja kuisemea tume!
Akiwa anazungmza hivi karibun Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesema kuwa wananchi ambao hawakupata nafasi ya kujianfikisha mara ya kwanza kwenye daftari la kudumu la mpiga kura basi wasijali kwani tume itarudi tena ili kuwafikia
Nikadhani zoezi la wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura lilikuwa limeshaisha.
Naona leo RC kajitokeza kuja kuisemea tume!
Akiwa anazungmza hivi karibun Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesema kuwa wananchi ambao hawakupata nafasi ya kujianfikisha mara ya kwanza kwenye daftari la kudumu la mpiga kura basi wasijali kwani tume itarudi tena ili kuwafikia