Jana nimemkuta mwenyekiti wa tarafa yangu anatumia pikipiki ya ofisi kubeba abiria, mimi kama raiya wa tarafa husika nilimpa angalizo ila najua ataendelea na biashara yake kwa usafiri huu wa ofisi lakini najiona mwepesi na hasira zangu zimepungua kidogo kwa makofi niliyomtandika jana baada ya kumkamata.