Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
RC Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku maafisa wa TRA kuandamana na Polisi wenye silaha wanapokuwa kwenye shughuli za ukusanyaji kodi.
Usiishi kwa kukaririWatapigwa hao maafisa..kwa arusha wacha waende nao..hao wameru walishawai kuua afisa kwa kumtandika kwa fimbo.
Huyu anasema marufuku, kesho baba yake Bashite atasema waende na askari.Wazo zuri ni TRA inatakiwa watoe Elimu kwa wanaolipa kodi ili wajue umuhimu wa kulipa kodi bila shurti na kuwa na makadirio yanayowiana na biashara watu wanataka kulipa kodi ndio maana kubadilisha TIN tuu unaona foleni wanakaa hata siku nzima kwa ishu hiyo wangekua hawataki wasingesubiri hizo TIN..
Hauko sahihi, endapo afisa ataenda kukusanya kodi na akitumia lugha nzuri hakuna wa kumdhuru, endapo wataenda kibabe wanaloWatapigwa hao maafisa..kwa arusha wacha waende nao..hao wameru walishawai kuua afisa kwa kumtandika kwa fimbo.
Sio polisi pekee nimeona hadi jwtzKwani polisi nao wanakusanya kodi?
Umesema point kabisaHauko sahihi, endapo afisa ataenda kukusanya kodi na akitumia lugha nzuri hakuna wa kumdhuru, endapo wataenda kibabe wanalo
Ila tatizo litakuja kwenye kuzilinda hizo pesa wanazozikusanya .............. imagine wamezunguka siku nzima na wamekusanya million 10. Hivi wahuni wakijua si watazifanyia mpango!!?Amejua sababu ya Maafisa TRA kuambatana na jeshi la polisi wakati wa ukusanyaji kodi zao kwa Arusha....?Anyway kwa wafanyabiashara ni habari njema sana maana Maafisa TRA walikuwa wakivamia maduka wakiwa na hao maaskar kama wapo vitani...
Haya mawzo alishauriwa na baadhi ya rafiki zake wafanyabiashara wa mahoteli kuwa awashauri tra watoe elimu badala ya kukusanya kodi kwa kutumia nguvu ya jeshiWazo zuri ni TRA inatakiwa watoe Elimu kwa wanaolipa kodi ili wajue umuhimu wa kulipa kodi bila shurti na kuwa na makadirio yanayowiana na biashara watu wanataka kulipa kodi ndio maana kubadilisha TIN tuu unaona foleni wanakaa hata siku nzima kwa ishu hiyo wangekua hawataki wasingesubiri hizo TIN..
Gambo alikuwepo hotel flani pembeni ya cafe la azizi pale makao mapya siku ya alhamisi, mwenye hotel alimwambia adha wanazopata kwa tra kwa kutumia nguvu ya polisi na jeshi. Hii ni mbaya sana, watu wanahitaji elimu ili walipe kodi kwa hiari kwani kodi ni muhimuUmesema point kabisa
RC Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku maafisa wa TRA kuandamana na Polisi wenye silaha wanapokuwa kwenye shughuli za ukusanyaji kodi.
Mkuu watu wanapata pressure kutoka juu hivyo wanafanya kazi kwa pressure zaidi kuliko kutumia elimu zao.Gambo alikuwepo hotel flani pembeni ya cafe la azizi pale makao mapya siku ya alhamisi, mwenye hotel alimwambia adha wanazopata kwa tra kwa kutumia nguvu ya polisi na jeshi. Hii ni mbaya sana, watu wanahitaji elimu ili walipe kodi kwa hiari kwani kodi ni muhimu
Nadhani ni busara kwanza mkuu wa mkoa angekaa na pande hizo mbili yaani TRA na jeshi la polis apate nikipi chanzo hasa cha kutumia vyombo vya ulinzi kwenye zoezi la kukusanya kodi ingawa sijajua kama kalifanya hilo , maana kama kafanya maamuzi bila kujadiliana na makundi haya naona kuna hatari mbeleIla tatizo litakuja kwenye kuzilinda hizo pesa wanazozikusanya .............. imagine wamezunguka siku nzima na wamekusanya million 10. Hivi wahuni wakijua si watazifanyia mpango!!?
Haiwezekani ukawa unakusanya pesa ya serikali bila ulinzi. Ila kazi ya hao askari ndiyo inabidi iwe defined!!