haaa haaa umenikumbusha nadhani DR.Rajabu Mtengwe kama sikosei yule alitumbuliwa mkoa wa Katavi akawa analialia rti aonewe huruma sijui kwa alizaliwa kuwa mkuu wa mkoa.Yule alibebwa na JK sijui kapotelea wapi daa siasa bwana.Yule RC wa kwanza kutumbuliwa Moro sijui Dr Rajab nanii atakuwa Wapi sijui maana kapotea kabisa