Kwani likizo Maana yake lazima uende kijijini kwenu?Ukiwa na likizo ndo fursa ya kutembea popote unapopenda duniani ndo Maana unaona wazungu wengi wanapopata likizo huja Africa hususan Tanzania kuona mambo mbali mbali ambayo kwao hakuna....pia ona wacheza soka kipindi cha likizo wanavyojazana huko Ibiza lakini sio kwao huko