johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,931
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amesema mafuta yako ya kutosha na meli nyingine nyingi ziko njiani zinaleta mzigo hivyo wananchi wasiwe na wasiwasi.
Makalla amesema kazi ya serikali ni kuhakikisha wafanyabiashara hawafichi mafuta na kwamba yanauzwa kwa bei elekezi siyo bei za ulanguzi.
Tanzania siyo Kisiwa hivyo yanayoendelea huko duniani nasi yanatugusa kama mafuta kutouzwa kwa dola.
Source: TBC
Makalla amesema kazi ya serikali ni kuhakikisha wafanyabiashara hawafichi mafuta na kwamba yanauzwa kwa bei elekezi siyo bei za ulanguzi.
Tanzania siyo Kisiwa hivyo yanayoendelea huko duniani nasi yanatugusa kama mafuta kutouzwa kwa dola.
Source: TBC