RC Kagera:Wazazi wacharazwe viboko(Audio)

RC Kagera:Wazazi wacharazwe viboko(Audio)

Baada ya walimu sasa wazazi, ni kulekule gulioni
 
Amenikumbusha yule aliewachalaza walimu viboko akaondolewa ukuu wa wilaya.
 
Watawala wa mkoa huo huwa wanawaza viboko tu, kwa nini?
 
Hizo kauli za kibabe na dharau kwa wananchi ni kutojitambua kwa mtumishi wa umma.Kuna lugha za staha ambazo kama mtumishi/kiongozi anapaswa kutumia kwa anaowaongoza/wananchi.Stress zao wabakie nazo makwao,wasilete kwenye maeneo ya kazi.
JPM bado anapitia CV zao,wasitafute kick
 
Nimesikiliza maelezo yake,anatumia lugha mbaya isiyostaha wala adabu,kwelitkauli ya hapa kazi tu itatumaliza wananchi wa tabaka la chin
 
Viboko!!! Duh hata anayelingana mama Mogela atachapwa kweli? Watoto wengi wanalelewa na bibi zao sababu wazazi wengi wametangulia kwenye haki, hivyo Mkuu wa mkoa jiandae kuwaweka ndani maajuza.
 
Sio lazima kiongozi atumie lugha Kali,mbovu,vitisho ili aonekane yupo makini?kiukweli hajatumia lugha nzuri kwa watu anaowatumikia@viongozi ni lazima uwe na uwezo wa kufikiria maneno unayoongea yatakuwa na impact gani.
 
Back
Top Bottom