RC Homela awaombea msamaha kwa RPC Waumimi wa KKKT Kyela, asema wakirudia tena awanyooshe kama rula

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,975
Leo askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amemuweka kitini askofu mteule wa dayosisi ya Konde Dr Mwakihaba

Katika salamu zake mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Homela amekitaka Kanisa hilo kutunza Imani ya kweli na siyo Imani ya dharura

Pia RC Homela amemwomba RPC wa Mbeya kuwasamehe Waumimi wa KKKT Kyela walioingia na Visu, Mapanga, Mashoka na Marungu ndani ya Kanisa na kufanya vurugu.

Hata hivyo Homela amesema Waumimi hao wakirudia tena basi RPC awanyooshe kama rula.

Chanzo: Upendo tv
 
Leo askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amemuweka kitini askofu mteule wa dayosisi ya Konde Dr Mwakihaba

Katika salamu zake mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Homela amekitaka Kanisa hilo kutunza Imani ya kweli na siyo Imani ya dharura

Pia RC Homela amemwomba RPC wa Mbeya kuwasamehe Waumimi wa KKKT Kyela walioingia na Visu, Mapanga, Mashoka na Marungu ndani ya Kanisa na kufanya vurugu.

Hata hivyo Homela amesema Waumimi hao wakirudia tena basi RPC awanyooshe kama rula.

Source Upendo tv
Mungu aendelee kuisimamia Dayosisi ya kuacha haki itendeke kati ya upande wa Askofu Dr. Mwaikali aliepokwa Uaskofu na upande wa Mwakihaba.

Kwa jinsi nilivyowasikia; Askofu Shoo na Askofu mstaafu Mwakyolile inaonekana kulikuwa na lobbying kubwa sana kwa upande wa Mwakihaba kwenye viongozi wa Serikali kitu ambacho ni kibaya sana. Na imejidhihirisha kuwa na vyombo vingi Ndani ya Kanisa wakiwa na magwanda which is very bad, inaonyesha kama vile uongozi wa kanisa hauna legitimacy vile na kile kilichofanyika.

Naomba wamwache Askofu Mwaikali na team yake waendelee kutafuta haki yao Mahakamami na wala Serikali isiwabugudhi kama kweli Serikali inataka amani. Na waumini wanaomuunga mkono Askofu Mwaikali wasibugudhiwe mpaka hapo Mahakama ya rufaa itakapoamua vinginevyo.
 
Mungu aendelee kuisimamia Dayosisi ya kuacha haki itendeke kati ya upande wa Askofu Dr. Mwaikali aliepokwa Uaskofu na upande wa Mwakihaba.

Kwa jinsi nilivyowasikia; Askofu Shoo na Askofu mstaafu Mwakyolile inaonekana kulikuwa na lobbying kubwa sana kwa upande wa Mwakihaba kwenye viongozi wa Serikali kitu ambacho ni kibaya sana. Na imejidhihirisha kuwa na vyombo vingi Ndani ya Kanisa wakiwa na magwanda which is very bad, inaonyesha kama vile uongozi wa kanisa hauna legitimacy vile na kile kilichofanyika.

Naomba wamwache Askofu Mwaikali na team yake waendelee kutafuta haki yao Mahakamami na wala Serikali isiwabugudhi kama kweli Serikali inataka amani. Na waumini wanaomuunga mkono Askofu Mwaikali wasibugudhiwe mpaka hapo Mahakama ya rufaa itakapoamua vinginevyo.
Vurugu kwenye Injili siyo jambo jema
 
Mungu aendelee kuisimamia Dayosisi ya kuacha haki itendeke kati ya upande wa Askofu Dr. Mwaikali aliepokwa Uaskofu na upande wa Mwakihaba.

Kwa jinsi nilivyowasikia; Askofu Shoo na Askofu mstaafu Mwakyolile inaonekana kulikuwa na lobbying kubwa sana kwa upande wa Mwakihaba kwenye viongozi wa Serikali kitu ambacho ni kibaya sana. Na imejidhihirisha kuwa na vyombo vingi Ndani ya Kanisa wakiwa na magwanda which is very bad, inaonyesha kama vile uongozi wa kanisa hauna legitimacy vile na kile kilichofanyika.

Naomba wamwache Askofu Mwaikali na team yake waendelee kutafuta haki yao Mahakamami na wala Serikali isiwabugudhi kama kweli Serikali inataka amani. Na waumini wanaomuunga mkono Askofu Mwaikali wasibugudhiwe mpaka hapo Mahakama ya rufaa itakapoamua vinginevyo.
Maana inaonekana kulikuwa na figisu nyingi sana za kutaka kumwondoa madarakani Askofu Mwaikali, na kiongozi wa hizo harakati za kumwangusha Askofu Mwaikali ni Askofu mstaafu Mwakyolile na Malasusa for their own interest.

Naomba Serikali isitumike kwenye mgogoro huu wa KKKT Dayosisi ya Konde. Kwanini upande wa Mwakihaba wameegemea sana kutaka kupata support ya POLICE if at all wana legitimacy na kilichofanyika??, huu ni upuzi na ubatili mtupu kwa Kanisa. Yaani Ndani ya Kanisa kunakuwa full Askari waliovaa magwanda?? Hopeless kabisa.

Serikali imwache Askofu Mwaikali atafute haki yake Mahakamani
 
Maana inaonekana kulikuwa na figisu nyingi sana za kutaka kumwondoa madarakani Askofu Mwaikali, na kiongozi wa hizo harakati za kumwangusha Askofu Mwaikali ni Askofu mstaafu Mwakyolile na Malasusa for their own interest.

Naomba Serikali isitumike kwenye mgogoro huu wa KKKT Dayosisi ya Konde. Kwanini upande wa Mwakihaba wameegemea sana kutaka kupata support ya POLICE if at all wana legitimacy na kilichofanyika??, huu ni upuzi na ubatili mtupu kwa Kanisa. Yaani Ndani ya Kanisa kunakuwa full Askari waliovaa magwanda?? Hopeless kabisa.

Serikali imwache Askofu Mwaikali atafute haki yake Mahakamani
……na waumini wanaomtaka Askofu Mwaikali waachwe na uhuru wao huo mpaka Mahakama ya Rufaa itakapoamua vinginevyo!!
 
Wanyaki wametia aibu.
Imani ya Kikristo haiko hivi.
Migogoro ya kanisa hushughulikiwa mezani kwa kuonyana na sio kushitakiana mahakamani au kubeba silaha.

Hili sio kosa la Shoo imani ni ya mtu binafsi
Hapo ujue hakuna bali kuna maslahi tu ndio yanagombaniwa.
 
Leo askofu mkuu wa KKKT Dr Shoo amemuweka kitini askofu mteule wa dayosisi ya Konde Dr Mwakihaba

Katika salamu zake mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Homela amekitaka Kanisa hilo kutunza Imani ya kweli na siyo Imani ya dharura

Pia RC Homela amemwomba RPC wa Mbeya kuwasamehe Waumimi wa KKKT Kyela walioingia na Visu, Mapanga, Mashoka na Marungu ndani ya Kanisa na kufanya vurugu.

Hata hivyo Homela amesema Waumimi hao wakirudia tena basi RPC awanyooshe kama rula.

Source Upendo tv
KKKT siku hizi ina migogoro mikubwa sana hadi kuvuana uaskofu,refer kwenye tukio la mzee Munga aliyekua askofu Kaskazin Mashariki(Tanga)
Haya mambo ya migogoro kanisani huwezi kuyakuta Romani Katoliki
 
Kwa hio kama wewe unawatoto wavuta bangi wakati wewe huvuti, ukiona kwa jirani yako watoto wanatenda jinai(maovu)mbele ya uso wako hutakiwi kukemea in any how kisa wanao hutanda maovu pia? Kwa maneno mengine unatuambia kanisa la KKKT kwa sasa halina moral authority kukemea hata uozo unaoibuliwa na CAG kisa kwenye kanisa kuna mgogoro? Au unataka viongozi wote wawe kama sheikh wa mkoa wa Dar au kama mzee wa upako?
Hoja gani hii? Yaani ushindwe kikemea wa kwako kwanza uende kukemea wa jirani? How pathetic!
 
Back
Top Bottom