RC Gambo afiwa na dada yake

pole dogo Gambo. ni njia yetu sote hiyo.
haichagui nani atangulie nani afuate.

kuna watu walitaka kumtanguliza ndugu Lissu. usijeshangaa kuona wanatangulia wao na/au ndugu zao. Mungu si Mrisho wala Daudi wala John.
 
dada mzuri hivyo 'amekwenda' kweli kila nafsi ita onja umauti! RIP dada!
 
Pole Sana RC wangu kaz ya mungu haina makosa
 
Binti alikuwa mbichi kabisa jameni
 
dada bado mdogo na mrembo aisee.

Njia yetu moja.R.I.P
 
Pole kwa Mhe. na familia, Mungu awape faraja. Amina.
 
Lo pole sana ndg Gambo kwa madhira yaliyokupata.
Kuondokewa na mama na dada kipindi kifupi ni simanzi kubwa.
Ila ni mapenzi ya Mungu.
Faraja ya Mungu muweza yote iwe nawe.
Amen.
 
Pole sana Masiga,sisi sote ndiyo njia yetu..
Allah akupe Moyo wa subira Inshallah.
 
Sehemu ya Rambirambi ikajenge Muhimbili kwenye kuboresha chumba alicholazwa hadi umauti ukamkuta.
 
Pole sana Masiga,sisi sote ndiyo njia yetu..
Allah akupe Moyo wa subira Inshallah.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Amejisahau akatambulisha id yake sasa tutakua tunamtag tena kwa kashifa ili ajifunze.
Isipokoa nampa pole na rambirambi apeleke kwenye miradi ya maendeleo.
Kuna mdau humu amamaliziaga OVA.
 
safiii safii safii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…