Nimesikitishwa sana!Eeee wanyakyusaa bhana.. Hadi marehemu wanamfanyia promo
Eeee wanyakyusaa bhana.. Hadi marehemu wanamfanyia promo
Waende fesibuku na Twita wapige marufuki.
Mtu akifa mzike kimya kimya.
Ndo kipaombele chetu
HakikaKuna wakati binadamu tunaweza kukosa utu
Safi sana Rc. Hivi kweli kuna haja ya kufanya matangazo mji mzima kwaajili ya mtu mmoja?
Mbona ya Ki_jazii ilitangazwa nchi nzima, na hao waache watangaze kwa wapendwa wao.Safi sana Rc. Hivi kweli kuna haja ya kufanya matangazo mji mzima kwaajili ya mtu mmoja?
Jiheshimu, heshima hainunuliwi, sawa!???Mbona ya Ki_jazii ilitangazwa nchi nzima...na hao waache watangaze kwa wapendwa wao.
Huu ujinga ukiendelea watasema hata msiba ukitokea mtaani usiwatangazie majirani
Hapana, wakifa tuwahifadhi. Wakifika maremehu 10 tunatangazaSafi sana Rc. Hivi kweli kuna haja ya kufanya matangazo mji mzima kwaajili ya mtu mmoja?