RC Chacha Matiko: Vijiji vyote 722 vya Mkoa wa Tabora vina umeme chini ya Rais Samia

RC Chacha Matiko: Vijiji vyote 722 vya Mkoa wa Tabora vina umeme chini ya Rais Samia

John John Msakuzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
279
Reaction score
99
1754894009292.png

Rais Samia aimarisha Sekta ya Nishati Tabora kwa TZS353.73bn, vijiji vyote 722 vimeungabishwa na Umeme

Katika kipindi cha 2021 hadi 2025, Serikali imetekeleza miradi ya nishati yenye thamani ya TZS bilioni 353.73 mkoani Tabora.

Mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na kuunganishwa kwa vijiji vyote 722 na vitongoji 1,277 kwenye umeme, kukamilika kwa njia ya umeme wa msongo wa KV132 yenye urefu wa km 217 (Tabora–Urambo km 115, Tabora–Sikonge km 102), ujenzi wa vituo vya kupokea umeme Urambo (1x35 MVA) na Ipole (1x15 MVA), utekelezaji wa mkakati wa nishati safi ya kupikia, na usimamizi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki ambapo km 150 zinapita Tabora likiwa na vituo 4 vikubwa.
 
Vijiji huko tumeshatoka sahv tupo kwenye vitongoji
 
kwahiyo huyo saa100 wenu ndio kafanya kila kitu nchi hiyo tangu uhuru? Idiots
 
Back
Top Bottom