DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Wapenzi wa movie wanaelewa nini nimeuliza hapo juu.
Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili
Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia akili nyingi sana mpk CIA na FBI wakaweka chini kofia.....pia FBI walimtumia sana kuwakamata waalifu coz mshua alikuwa kichwa sana...series tamu sana hii.
Professor mzee mwenye akili anaweza organize mambo chap chap japo sometimes anapanic but anawai kurecover then anaclear mess iliopo mbele....wewe kwa akili yako inwards the tengeneza gang (kikundi) cha wezi kama cha professor hahaha definitely not maana akili kubwa sana imetumika kutengeneza lile kundi,kuanzia ID zao mpk distribution of labour (mgawanyo wa kazi)...bana bana inatosha kuhusu professor fundi mwenye akili za kuona 2050.
Unasema unaweza toroka jela wewe ney ney labda jela ya ndani ya ndoto zako unazoota mchana ndugu yangu "Michael Schofield" muhuni alitoroka gereza lenye ulinzi ambao wewe usingweza hata kujaribu kuwaza kutoroka hahaha najua utasema simple ila sio simple akili nyingi sana ilitumika mpk jamaa alitoroka kwenye mgereza ulee wenye ulinzi km nyuki wakiwa wanamprotect malikia wao...unajua Michael Schofield kwann alienda jela??? Hapo utajua akili ulionayo unaweza tumia kusolve mambo.
Sasa iko hivi lengo la uzi huu mniambie nani alikuwa anatumia akili nyingi sana kusolve mambo maziiito, mimi nipo na mzee mwenzangu Raymond Reddington.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili
Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia akili nyingi sana mpk CIA na FBI wakaweka chini kofia.....pia FBI walimtumia sana kuwakamata waalifu coz mshua alikuwa kichwa sana...series tamu sana hii.
Professor mzee mwenye akili anaweza organize mambo chap chap japo sometimes anapanic but anawai kurecover then anaclear mess iliopo mbele....wewe kwa akili yako inwards the tengeneza gang (kikundi) cha wezi kama cha professor hahaha definitely not maana akili kubwa sana imetumika kutengeneza lile kundi,kuanzia ID zao mpk distribution of labour (mgawanyo wa kazi)...bana bana inatosha kuhusu professor fundi mwenye akili za kuona 2050.
Unasema unaweza toroka jela wewe ney ney labda jela ya ndani ya ndoto zako unazoota mchana ndugu yangu "Michael Schofield" muhuni alitoroka gereza lenye ulinzi ambao wewe usingweza hata kujaribu kuwaza kutoroka hahaha najua utasema simple ila sio simple akili nyingi sana ilitumika mpk jamaa alitoroka kwenye mgereza ulee wenye ulinzi km nyuki wakiwa wanamprotect malikia wao...unajua Michael Schofield kwann alienda jela??? Hapo utajua akili ulionayo unaweza tumia kusolve mambo.
Sasa iko hivi lengo la uzi huu mniambie nani alikuwa anatumia akili nyingi sana kusolve mambo maziiito, mimi nipo na mzee mwenzangu Raymond Reddington.
Sent using Jamii Forums mobile app