Raymond Reddington, Professor, Michael Schofield nani Genius?

Raymond Reddington, Professor, Michael Schofield nani Genius?

Wote hapo waongo waongo hamna uhalisia
.. Kifupi hamna anayemfikia Mr White wa Breaking Bad
 
I TRUST YOU BUT MY GUN DOESN'T
Raymond Redington

Kwa upande wangu kura inakwenda kwa Michael, anatumia akili sana na huwezi predict nini kinafuatia kwenye kipengele husika
 
Wapenzi wa movie wanaelewa nini nimeuliza hapo juu.

Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili

Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia akili nyingi sana mpk CIA na FBI wakaweka chini kofia.....pia FBI walimtumia sana kuwakamata waalifu coz mshua alikuwa kichwa sana...series tamu sana hii.

Professor mzee mwenye akili anaweza organize mambo chap chap japo sometimes anapanic but anawai kurecover then anaclear mess iliopo mbele....wewe kwa akili yako inwards the tengeneza gang (kikundi) cha wezi kama cha professor hahaha definitely not maana akili kubwa sana imetumika kutengeneza lile kundi,kuanzia ID zao mpk distribution of labour (mgawanyo wa kazi)...bana bana inatosha kuhusu professor fundi mwenye akili za kuona 2050.

Unasema unaweza toroka jela wewe ney ney labda jela ya ndani ya ndoto zako unazoota mchana ndugu yangu "Michael Schofield" muhuni alitoroka gereza lenye ulinzi ambao wewe usingweza hata kujaribu kuwaza kutoroka hahaha najua utasema simple ila sio simple akili nyingi sana ilitumika mpk jamaa alitoroka kwenye mgereza ulee wenye ulinzi km nyuki wakiwa wanamprotect malikia wao...unajua Michael Schofield kwann alienda jela??? Hapo utajua akili ulionayo unaweza tumia kusolve mambo.

Sasa iko hivi lengo la uzi huu mniambie nani alikuwa anatumia akili nyingi sana kusolve mambo maziiito, mimi nipo na mzee mwenzangu Raymond Reddington.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka jela huitaji akili, unahitaji pesa kuhonga mapolisi na utaachiwa bila shida.

Mziki upo kwenye kuvunja benku kuu ya taifa, jua naongelea benki kuu sio NMB au CRDB!!

Hivi unadhani kuvunja benki kuu inayo lindwa na makomando wa jeshi ni akili ndogo hiyo?

Acha utan kijana, profesa yuko juu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi wa movie wanaelewa nini nimeuliza hapo juu.

Naomba nisipoteze muda sanaaa kwenye hili

Kama umewahi kuona series ya blacklist naam utakuwa unamjua fika Raymond Reddington mzee alietumia akili nyingi sana mpk CIA na FBI wakaweka chini kofia.....pia FBI walimtumia sana kuwakamata waalifu coz mshua alikuwa kichwa sana...series tamu sana hii.

Professor mzee mwenye akili anaweza organize mambo chap chap japo sometimes anapanic but anawai kurecover then anaclear mess iliopo mbele....wewe kwa akili yako inwards the tengeneza gang (kikundi) cha wezi kama cha professor hahaha definitely not maana akili kubwa sana imetumika kutengeneza lile kundi,kuanzia ID zao mpk distribution of labour (mgawanyo wa kazi)...bana bana inatosha kuhusu professor fundi mwenye akili za kuona 2050.

Unasema unaweza toroka jela wewe ney ney labda jela ya ndani ya ndoto zako unazoota mchana ndugu yangu "Michael Schofield" muhuni alitoroka gereza lenye ulinzi ambao wewe usingweza hata kujaribu kuwaza kutoroka hahaha najua utasema simple ila sio simple akili nyingi sana ilitumika mpk jamaa alitoroka kwenye mgereza ulee wenye ulinzi km nyuki wakiwa wanamprotect malikia wao...unajua Michael Schofield kwann alienda jela??? Hapo utajua akili ulionayo unaweza tumia kusolve mambo.

Sasa iko hivi lengo la uzi huu mniambie nani alikuwa anatumia akili nyingi sana kusolve mambo maziiito, mimi nipo na mzee mwenzangu Raymond Reddington.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kawaida huwa naangalia series kivivu.
Redington nampa namba moja kwa sababu ya uvaaji wa uhalisia, na matukio yake yanafanana sana na maisha halisi,pia hakwenda jela...kama ingekuwa personality inaweza kuwa adapted,mi ningependa kuwa kama huyu jamaa.
Prof nampa namba mbili kwa sababu ya akili aliyotumia, na malengo yake ya kutajirika,personality ya Professor pia iko fresh.
Michael ni mkali pia,lakini katika hiyo series matukio mengine ni yako too superhuman kama katika kupigana na watu wengi.Personality ya Michael katika 24 hainivutii...na hii ilikuwa kabla ya kujua ni shoga kiuhalisia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom