mrMaco
Member
- Jun 19, 2020
- 90
- 151
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juuu, yanii kwa atakeyefanikiwa kufika tarehe 03 ambayo ndio siku ya mwisho ya Interview atakuwa ametumia muda wa siku 8, hizo siku 8 kama unalala Lodge hivi utatumia bei gani plus chakula plus nauli go and return...
Ili kuhudhuria hii Interview inatakiwa uwe na kibunda cha kutoshaa...
Ili kuhudhuria hii Interview inatakiwa uwe na kibunda cha kutoshaa...