"Rasimu ya CCM" ya Katiba Mpya!

"Rasimu ya CCM" ya Katiba Mpya!

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,976
Wakuu,
Kile kikundi kinachojiita UKAWA kimekuwa kikidai mara kwa mara kuwa CCM wana Rasimu yao mbali na ile ya Warioba, naomba mwana-UKAWA, mshabiki yeyote wa UKAWA au mtu yeyote atuwekee hiyo Rasimu, otherwise tutawahesabu kuwa ni waongo na wazushi wakubwa pamoja na "usomi" walionao!
 
Wakuu,
Kile kikundi kinachojiita UKAWA kimekuwa kikidai mara kwa mara kuwa CCM wana Rasimu yao mbali na ile ya Warioba, naomba mwana-UKAWA, mshabiki yeyote wa UKAWA au mtu yeyote atuwekee hiyo Rasimu, otherwise tutawahesabu kuwa ni waongo na wazushi wakubwa pamoja na "usomi" walionao!

Kwa hiyo ccm watajadili rasimu ya warioba iliopendekezwa na wananchi?
 
ile inayosema muundo wa serikali ndio moyo wa rasimu!
 
Na hii nayo ni Breaking News!?
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
 
Hivi watu wangine ni wendawazimu nini.unataka uletewe rasimu ya ccm.kwani ccm kulazimisha kujadiliwa kwa serekali mbili.hio iko kwenye rasim ipi?rasim ilio mbele yao ni ya serekali moja au tatu.huoni hio ya mbili ni yao ccm?
 
Wakuu,
Kile kikundi kinachojiita UKAWA kimekuwa kikidai mara kwa mara kuwa CCM wana Rasimu yao mbali na ile ya Warioba, naomba mwana-UKAWA, mshabiki yeyote wa UKAWA au mtu yeyote atuwekee hiyo Rasimu, otherwise tutawahesabu kuwa ni waongo na wazushi wakubwa pamoja na "usomi" walionao!
Tokea umefukuzwa kazi hapa jf kama moderator umekuwa kama mwehu
 
Hii hapa
Rasimu ya Warioba imepe
ndekeza serikali tatu na muundo wa muungano wa shirikisho
Rasimu ya ccm serikali 2 nchi moja isiyo na muundo wa shirikisho.
Ndio maana wakajadili sura ya 1 na 6 ili kubadili muundo mzima wa rasimu ya warioba na kuingiza ile ya ccm.
Huu ndio moyo wa rasimu hizi mbili.
Hii ndio breaking news kapuku we!
 
Hii hapa
Rasimu ya Warioba imepe
ndekeza serikali tatu na muundo wa muungano wa shirikisho
Rasimu ya ccm serikali 2 nchi moja isiyo na muundo wa shirikisho.
Ndio maana wakajadili sura ya 1 na 6 ili kubadili muundo mzima wa rasimu ya warioba na kuingiza ile ya ccm.
Huu ndio moyo wa rasimu hizi mbili.
Hii ndio breaking news kapuku we!

Mkuu,
Unajua maana ya "Rasimu?"
 
Hivi watu wangine ni wendawazimu nini.unataka uletewe rasimu ya ccm.kwani ccm kulazimisha kujadiliwa kwa serekali mbili.hio iko kwenye rasim ipi?rasim ilio mbele yao ni ya serekali moja au tatu.huoni hio ya mbili ni yao ccm?
Mkuu,
Tunaomba hiyo "Rasimu ya CCM" tuijadili, sio kutuambia eti CCM wanataja Serikali 2!
 
Kwa hiyo ccm watajadili rasimu ya warioba iliopendekezwa na wananchi?

watajadili rasimu ya Warioba, wataondoa neno "tatu" wanaandika "mbili" maisha yanasonga mbele. Wananchi kwenye kura za maoni ndio wataamua kama hiyo "mbili" wanaitaka au la!
 
Naona baada ya lipumba kutuvjishia ule waraka wenye nembo ya siri tumeamua kuukana!
 
Back
Top Bottom