Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,976
Wakuu,
Kile kikundi kinachojiita UKAWA kimekuwa kikidai mara kwa mara kuwa CCM wana Rasimu yao mbali na ile ya Warioba, naomba mwana-UKAWA, mshabiki yeyote wa UKAWA au mtu yeyote atuwekee hiyo Rasimu, otherwise tutawahesabu kuwa ni waongo na wazushi wakubwa pamoja na "usomi" walionao!
Kile kikundi kinachojiita UKAWA kimekuwa kikidai mara kwa mara kuwa CCM wana Rasimu yao mbali na ile ya Warioba, naomba mwana-UKAWA, mshabiki yeyote wa UKAWA au mtu yeyote atuwekee hiyo Rasimu, otherwise tutawahesabu kuwa ni waongo na wazushi wakubwa pamoja na "usomi" walionao!