Rasilimali na siasa za watawala.

Rasilimali na siasa za watawala.

Joined
Jul 25, 2013
Posts
12
Reaction score
0
Kumekuwapo na utumiaji vibaya wa rasilimali za nchi yetu ambapo siasa imekuwa ikitumika kuliko ukweli wa uhalisia, mi ningeomba katiba mpya itamke kuwepo na uwazi katika mikataba itakayo sainiwa na viongoz mbalimbali ili kujilidhisha na rasilimali zitakazo tumika na kipato kitakacho kuwa kinatozwa kiwe sawia na rasilimali zetu.
 
Back
Top Bottom