Tetesi: RAS Singida atoa notice ya kuwafukuza kazi watumishi zaidi ya 20 kwa kufoji vyeti

Mama kafanya kazi zaidi ya miaka 30 alifoji vyeti mwaka 1998 mbona haviendani ndugu mwandishi? Aliajiriwa bila vyeti??
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya

Punguza povu.
Kwani haiwezekani kuwa alifanya hiyo forgery akiwa mtumishi ?
 
Hi wanabodi!!!

Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne.

Mtoa habari anasema Mama yake ambae ni mtumishi wa zaidi ya miaka 30 katika utumishi wa umma ambaye kabakiza mwaka mmoja kustaafu utumishi wa umma leo amezimia zaidi ya mara tano hivyo kushindwa kabisa kupeleka barua ya maelezo kwa RAS ya kwanini asichukiliwe hatua za kinidhamu.


Mods Habari hii ni ya kweli kabisa kama mtathibisha ni habari ya uongo kuhusu RAS kutoa notice YA kuwachukulia hatua za kinidhamu waliofoji nipigwe BAN KABISA
Kwakweli ni kilio cha ukoo kimetamalaki kijana aliyenipa ujumbe kwasasa upo safarini kutoka UDSM kwenda kumpa Mama yake matumaini ya kuishi tena. kijana amesema ni kweli mama yake alifoji vyeti miaka ya 1998 hivyo kumfanya kupata mafunzo ya certificate na badae Diploma ambayo anaitumikia kwa kufanya kazi katika taasisi nyeti mpaka sasa.

Kijana amesema akifika usiku huu nyumbani kwao atatumia barua ambayo mama yeke amepewa na mwajiri wake na utetezi ambao mama yake ameutoa lakini ameshindwa kuuwasilisha hadi sasa baada ya kuzimia mara kadhaa.

Mods: habari hii ni ya kweli kabisa kama mkichunguza na kukuta kuna uongo nipigwe BAN aidha baadhi ya watumishi waliokumbwa na kadhaa hii wengi wao kwasasa ni wazee wa miaka 50 mpaka 58 wanaomba msaada wa waandishi na wanasheria
Ni kweli kuna sekeseke la vyeti mkoani hapa kwa baadhi ya watumishi kutakiwa kuwaslisha vyeti halisi kwa uchunguzi zaidi.Nimeona wa idara ya afya.
 
Hi wanabodi!!!

Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne.

Mtoa habari anasema Mama yake ambae ni mtumishi wa zaidi ya miaka 30 katika utumishi wa umma ambaye kabakiza mwaka mmoja kustaafu utumishi wa umma leo amezimia zaidi ya mara tano hivyo kushindwa kabisa kupeleka barua ya maelezo kwa RAS ya kwanini asichukiliwe hatua za kinidhamu.


Mods Habari hii ni ya kweli kabisa kama mtathibisha ni habari ya uongo kuhusu RAS kutoa notice YA kuwachukulia hatua za kinidhamu waliofoji nipigwe BAN KABISA
Kwakweli ni kilio cha ukoo kimetamalaki kijana aliyenipa ujumbe kwasasa upo safarini kutoka UDSM kwenda kumpa Mama yake matumaini ya kuishi tena. kijana amesema ni kweli mama yake alifoji vyeti miaka ya 1998 hivyo kumfanya kupata mafunzo ya certificate na badae Diploma ambayo anaitumikia kwa kufanya kazi katika taasisi nyeti mpaka sasa.

Kijana amesema akifika usiku huu nyumbani kwao atatumia barua ambayo mama yeke amepewa na mwajiri wake na utetezi ambao mama yake ameutoa lakini ameshindwa kuuwasilisha hadi sasa baada ya kuzimia mara kadhaa.

Mods: habari hii ni ya kweli kabisa kama mkichunguza na kukuta kuna uongo nipigwe BAN aidha baadhi ya watumishi waliokumbwa na kadhaa hii wengi wao kwasasa ni wazee wa miaka 50 mpaka 58 wanaomba msaada wa waandishi na wanasheria
Vyeti feki kama vipo huenda vilifojiwa miaka ya nyuma sana.Wangine wamekaribia kustaafu.Nani wa kulaumiwa? Kufukua makaburi ni kubaya sana.Hili zoezi likipita kila idara na na sekta litafunua mengi kuliko vita vya madawa ya kulevya.
 
"Alifoji cheti mwaka 1998,akasoma cheti na hatimaye diploma anayoifanyia kazi sasa". Wapi hujaelewa? Bashitian nini wewe? Mimi kuna mjomba wangu alikuwa ni darasa la saba,ulipotoka waraka wa serikali kuwa waajiriwa wote wa serikali wawe kidato cha nne,alisoma QT halafu akafanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2003. Wakati waraka unatoka,alikuwa ni dereva wa taasisi fulani kwa muda wa miaka 9. Mpaka sasa bado ni dereva wa hiyo taasisi. Kwa hiyo hesabu ya utumishi wake wa serikali unaanzia wapi?
Maelezo hayo yapo katika post au umeongezea? Na kama ni hivyo unauhakika gani kama hayo uliyoongeza yako sahihi kwa mujibu wa mtoa post? Unadhani kama ilikuwa hivyo ilishindikana nini kuweka mambo vizuri kabla ya kupost....
Anyway.... Nadhani ulianzisha ubishi ili tu utumie msamiati mpya. Lakini kufikia hapo watu watakuwa wameshang'amua kati yetu mimi na wewe nani atakuwa B*shit..
 
Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya[/QUOT
Mtu mwenye miaka 58-9 atakuwa amemaliza a level 78 na kwenda JKt na kuanza kazi 1980. 98???? Asitudanganye wenzie ni wastaafu watarajiwa na wakati huo kufoji mhu. Kurudia darasa la saba na la nne sawa na kubadili majina vilitokea kwa wingi lakini kufoji vyeti enzi hizo labda.
 
Acha uongo umesema amefanya kazi zaidi ya miaka 30 wakati huohuo unasema alifoji miaka 1998. Acha kutudanganya
Kuna wakati watumishi wote wa waliokuwa wameajiliwa kwenye hizi Regional Secretariets chini ya RAS kama wahudumu waliamuliwa kwenda kusoma ili wawe makatibu muhtasi (PS) au watunza kumbukumbu wa masijala, kwa hiyo utakuta kipindi hicho watu wengi walikuwa hawana sifa ya kwenda masomoni kwa sababu wengi wao walikuwa hawana vyeti vya form four, hapo ndo biashara ya kufoji vyeti ilianza na sikosei huyo mama alikuwa kwenye huo mkumbo.[/QUOTE]
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Hi wanabodi!!!

Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne.

Mtoa habari anasema Mama yake ambae ni mtumishi wa zaidi ya miaka 30 katika utumishi wa umma ambaye kabakiza mwaka mmoja kustaafu utumishi wa umma leo amezimia zaidi ya mara tano hivyo kushindwa kabisa kupeleka barua ya maelezo kwa RAS ya kwanini asichukiliwe hatua za kinidhamu.


Mods Habari hii ni ya kweli kabisa kama mtathibisha ni habari ya uongo kuhusu RAS kutoa notice YA kuwachukulia hatua za kinidhamu waliofoji nipigwe BAN KABISA
Kwakweli ni kilio cha ukoo kimetamalaki kijana aliyenipa ujumbe kwasasa upo safarini kutoka UDSM kwenda kumpa Mama yake matumaini ya kuishi tena. kijana amesema ni kweli mama yake alifoji vyeti miaka ya 1998 hivyo kumfanya kupata mafunzo ya certificate na badae Diploma ambayo anaitumikia kwa kufanya kazi katika taasisi nyeti mpaka sasa.

Kijana amesema akifika usiku huu nyumbani kwao atatumia barua ambayo mama yeke amepewa na mwajiri wake na utetezi ambao mama yake ameutoa lakini ameshindwa kuuwasilisha hadi sasa baada ya kuzimia mara kadhaa.

Mods: habari hii ni ya kweli kabisa kama mkichunguza na kukuta kuna uongo nipigwe BAN aidha baadhi ya watumishi waliokumbwa na kadhaa hii wengi wao kwasasa ni wazee wa miaka 50 mpaka 58 wanaomba msaada wa waandishi na wanasheria
Toka 1998 hadi leo miaka 30 iko wapi?
 
Ili iwepo fairness nchini, ni lazima Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam authibitishie Umma kuwa elimu yake iko clean, otherwise haijakaa sawa hii!!
 
Haiwezekani wengine tupige umande, afu tutukanwe tumetumwa na kijiji afu waliokuwa wanatutukana wafoji vyeti waendelee kututukana, haiwezekani! Afu usiombe ukutane na bosi kafoji vyeti afu akutane na cv yako imenyoka, utamkomaje!!!!!!
Na vimeo wengi ndo wanakuwa wanoko maana hawakusota, wanakuwa wamejaa wivu, husuda na ubinafsi, pia wanajifanya wanamapenzi na Mungu, yaani kila kitu wanajitia wanafanya kwa mapenzi ya Mungu. Weziiiiiiii
Why not Bashite?
 
Umesema mtumishi ni mtumishi wa umma kwa miaka 30 na amefoji cheti mwaka 1998 inamaana huko nyuma alifanya kazi bila hata cheti cha kufoji. Huyu ni expert akizinduka tena mwambie anakesi kubwa
 
Back
Top Bottom