Ras Simba ni nani?

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
268
Habari wakuu, nimekua nikisikia matangazo mengi sana kuhusiana na huyu jamaa anayeitwa Ras Simba kwamba anatoa tuition ya kuzungumza Lugha ya Kiingereza, amekua akijinadi kuwa ukienda kwake usipojua kuzungumza Kiingereza kwa muda wa miezi 3 anakurudishia ada yako, Je hili lina ukweli? Je serikali inamtambua? Ufundishaji wake unafata mtaala gani?
 
Yaani huyo jamaaa ni bonge la jipu mazee. Ana shule yake hapa Morogoro ni ukilaza mtupu na ujinga ujinga.
 
Unaendaje kujifunza taaluma au lugha kwa Mwalimu anayejiita Ras Simba. Ingekuwa kupiga gitaa au kinanda sawa.
 
Msimsingiziee kwa lolote au chochote, anafundisha lugha vizuri na wale wasaidizi wake
Pia wapo baadhi ya viongozi wa nchi hii wanafundishwa kwake kama wabunge
 
acheni uzushi huyu jamaa yupo vizuri kuna mfanyakazi wa ndani tuli mpeleka kwake ambrush ajue cha kuombea maji na alikuwa std 7 tu now ana mwaga lugha kama kasoma havard university anapokea zake £ kwa Elizabeth
 
acheni uzushi huyu jamaa yupo vizuri kuna mfanyakazi wa ndani tuli mpeleka kwake ambrush ajue cha kuombea maji na alikuwa std 7 tu now ana mwaga lugha kama kasoma havard university anapokea zake £ kwa Elizabeth
ahaaa haaaa una mtetea
 
...moja ya wabakaji wa elimu na taaluma ya elimu...
 
Tangazo lake lilivyosetiwa , linawezakuyumbisha hata ma-degree holder,wakajisalimisha kwake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…