ashy me
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 460
- 299
Nimepita sehemu Leo nikaona picha ya rapper wa kike machachar enz hizo Lisa lopes au kama alivojulikana 'left eye' ..pamoja na aaliyah ......nmekumbka meng na nmepta mazingatio makubwa sana .
Miaka Ming ilopita nlikuwa mshabiki mkubwa wa muziki (mwenyez mung anisamehe ) na nlipenda sana mziki wa hip hop ......nkiwa nakua kua ....nlipta kumjua left eye hasa aliposhirikishwa na Melanie B ktk never be the same again ...nlitokea kumpenda na kuanza kumfatilia na kutokea kuwa fans wake jpo I was small kid
Hatimaye left eye alifariki kwa ajal ya gar .....na mm kipind hiko nlishaacha kabisa kuskiza mziki ...nliumia sana s kwann kafa ila kwann kafa ktk hali ile ya kuwa ktk kaz ya kumuudh mung .......nlifkir meng jins sis binadamu tunavojisahau na shetan kutupotosha .....
Left eye alifariki akiwa na miaka 31 ...sasa ukitathmin miaka yake aloish na vitu vinavyotudanganya nguvu znaniisha na kuomba mwsho mwema
Miaka 31 toa 14 ya utoto mpka alipoingia baleghe
Imebak 17 aloish ...17 hiyo toa miaka 5 maybe aliumwa inabk miaka 12 tu alofurah .....
Miaka 12 tu ameish dunian tu na kumsahaulisha maisha yanayofuata ambayo angeish milele ........
Nliumia sana sabb nlimpenda sana ktk Shari na ningetaman nmpende ktk kheri ya kumpendeza mung
Lakini sina jins wino umekwisha na kalamu imenyanyuliwa ......
Ni ukumbusho kwetu sis ...wakt tunakuwa masela hatujal kitu ila tubadilike sabb dhamb haisahauliki na wema hauozi .. .....
Miaka Ming ilopita nlikuwa mshabiki mkubwa wa muziki (mwenyez mung anisamehe ) na nlipenda sana mziki wa hip hop ......nkiwa nakua kua ....nlipta kumjua left eye hasa aliposhirikishwa na Melanie B ktk never be the same again ...nlitokea kumpenda na kuanza kumfatilia na kutokea kuwa fans wake jpo I was small kid
Hatimaye left eye alifariki kwa ajal ya gar .....na mm kipind hiko nlishaacha kabisa kuskiza mziki ...nliumia sana s kwann kafa ila kwann kafa ktk hali ile ya kuwa ktk kaz ya kumuudh mung .......nlifkir meng jins sis binadamu tunavojisahau na shetan kutupotosha .....
Left eye alifariki akiwa na miaka 31 ...sasa ukitathmin miaka yake aloish na vitu vinavyotudanganya nguvu znaniisha na kuomba mwsho mwema
Miaka 31 toa 14 ya utoto mpka alipoingia baleghe
Imebak 17 aloish ...17 hiyo toa miaka 5 maybe aliumwa inabk miaka 12 tu alofurah .....
Miaka 12 tu ameish dunian tu na kumsahaulisha maisha yanayofuata ambayo angeish milele ........
Nliumia sana sabb nlimpenda sana ktk Shari na ningetaman nmpende ktk kheri ya kumpendeza mung
Lakini sina jins wino umekwisha na kalamu imenyanyuliwa ......
Ni ukumbusho kwetu sis ...wakt tunakuwa masela hatujal kitu ila tubadilike sabb dhamb haisahauliki na wema hauozi .. .....