GE2025 Raphael Kayuni ajitosa tena Ubunge Ileje kupitia CCM, achukua fomu rasmi

GE2025 Raphael Kayuni ajitosa tena Ubunge Ileje kupitia CCM, achukua fomu rasmi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Kada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na mdau Mkubwa wa Michezo na Maendeleo Wilayani Ileje Mkoa wa Songwe Ndg Raphael Kayuni amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Ileje mkoani Songwe kupitia Chama hicho

1751263699365.png
Kayuni amechukua fomu hiyo katika Ofisi za CCM Wilaya ya Ileje June 28 2025 na kukabidhiwa na Katibu wa chama hicho wilaya ya Ileje Hassan Lyamba.

Si mara ya kwanza kwa Raphael Kayuni kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ileje kwani mwaka 2020 alikuwa miongoni mwa waliochuana na mbunge wa sasa Godfrey Kasekenya Msongwe.
 
Back
Top Bottom