Jamani wadau niliweka post ya kuomba kujulishwa rangi ya mwaka 2014 lkn nilichoambulia ni matusi na utani mwingi, LAKINI WADAU NIPO SERIOUS NAOMBA KUJUZWA KWA YEYOTE ANAYEJUA RANGI YA MWAKA 2014 SERIOUS!! naomba msaada
Jamani wadau niliweka post ya kuomba kujulishwa rangi ya mwaka 2014 lkn nilichoambulia ni matusi na utani mwingi, LAKINI WADAU NIPO SERIOUS NAOMBA KUJUZWA KWA YEYOTE ANAYEJUA RANGI YA MWAKA 2014 SERIOUS!! naomba msaada