NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,740
Rangi za mavazi (haswa za ndani) huwa zinaleta msisimko wa mapenzi, na kuna rangi zingine ukiziona zinakata ladha.
Rangi Kama:
(1) Nyeupe, mwanamke akija na rangi ya namna hii NALIA NGWENA huwa nasuuzika sana moyo wangu haswa na ile tabia yangu ambayo naipenda yakumvua Mimi mwenyewe(nguo ya ndani) tunapokua faragha.
(2)Rangi ya pink, hapa huwa naburudika sana mwanamke akinivalia tyti ama chupi ya rangi hii, hakika hata udenda ama tee huwa unanidondoka moyo wangu unasuuzika unakua wa baridiii swafi kabisa.
Tell us your favorite colors!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rangi Kama:
(1) Nyeupe, mwanamke akija na rangi ya namna hii NALIA NGWENA huwa nasuuzika sana moyo wangu haswa na ile tabia yangu ambayo naipenda yakumvua Mimi mwenyewe(nguo ya ndani) tunapokua faragha.
(2)Rangi ya pink, hapa huwa naburudika sana mwanamke akinivalia tyti ama chupi ya rangi hii, hakika hata udenda ama tee huwa unanidondoka moyo wangu unasuuzika unakua wa baridiii swafi kabisa.
Tell us your favorite colors!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app