Range Rover ya wizi yakutwa Bongo

Mkuu Mbona Kama unaogopa? Unahusika nini?
 
Mkuu Mbona Kama unaogopa? Unahusika nini?
Siogopi ila napenda haki itendeke kwa anayeendesha gari hilo asije kuangukia kwa wakurupukaji pasipo kujiridhisha ya kutosha. Watu wanadhurumiwa sana kwa njia kama hii na wanaingia kwenye matatizo makubwa ilihali walinunua kihalali.
 
Kama nawaona wanavyohaha kuipata hiyo tracker, jamaa anajua mwenyewe alikoificha.

Hiyo kofia yake kama bado wanayo waiweke wampe, anaipenda sana. Amesisitiza kofia mara nyingi kuliko gari.
Gari kashalipwa na Bima ndio maana anahitaji kofia ambayo imepotea..
 
SA huyo yeye anaenda ndani kwanza maana hakuna tracker inayozima baada ya muda ndio ianze kufanya kazi wazungu bhana wanatuona wote viazi..gari hata ulitupe baharini muda huo huo litasoma yeye tracker yake gari mpaka linafika Tanzania ndio anasema aisee..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…