Range ni gari tamu sana.
Hata mimi naikubali sana
Kuna gari kali sana lkn mimi gari zangu ni
Premio
Dualis
Vanguard
Range
Defender
Mungu kadri atakavyonijalia nikawa na kipato cha kuchagua cha kununua basi mlolongo ni huo.
Saizi nilikonako nilinunua kwakua pesa yangu ilishia hapo.
Sent using
Jamii Forums mobile app