Just for curiosity...ramani unanunuwa au unatoa mahitaji na site uliyonayo ili "iwe designed kulingana na mahitaji ya muhusika"??.....tutafakari kisha tuchukuwe hatuwa.
Hizo sio za ku'download wakuu, nimezipiga kwenye kitabu ambacho ninacho. Kwakifupi kuchora siwezi ila nina kitabu cha ramani za nyumba aina zote ukiitaji nakuletea uchague ramani utakayoipenda kisha naenda kukutolea copy kila ramani tsh50,000 kwa roho safi
Mmh izo ramani labda wakutafute mafisadi waliochota ela za uma,lala hoi kama mm ela nitapata wapi kama kodi ninayokatwa tu inapita nnssf je nitapata ela ya kujenga nyumba ya atari kama iyo?akina mwigala na nepe labda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.