mnajishuhulisha na kuchora mapaa pia? kuna nyumba ya ghorofa moja na imeshapauliwa lakini upande mmoja sio wa ghorofa na umeshindikana kupaua bila kusababisha athari za kulowa ukuta wakati wa mvua.
mnajishuhulisha na kuchora mapaa pia? kuna nyumba ya ghorofa moja na imeshapauliwa lakini upande mmoja sio wa ghorofa na umeshindikana kupaua bila kusababisha athari za kulowa ukuta wakati wa mvua.