View attachment 69562
Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.
Imetoka blog ya Mjengwa[/QUOT
Sasa wewe unatakaje?