Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,573
- 4,973
Tuliambiwa NEC haihusiku huko zanzibar,sasa huyu mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi fyokofyoko ya nini huko? alipaswa kukaa kimya ZEC wajiendeshe wenyewe maana hicho ni chombo huru.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Zanzibar.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Zanzibar.