MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 May 28, 2014 #1 Wanabodi Naomba njia ya kufanya Ram yangu iwe na space nzuri maana naona kama nafasi ni ndogo kama inavyoonekana picha. Je tatizo hili halifanyi simu kuwa nzito? Ahsante. Attachments 1401266548926.jpg 51.6 KB · Views: 89
Wanabodi Naomba njia ya kufanya Ram yangu iwe na space nzuri maana naona kama nafasi ni ndogo kama inavyoonekana picha. Je tatizo hili halifanyi simu kuwa nzito? Ahsante.
MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 May 29, 2014 Thread starter #3 Mushi92 said: Usiruhusu app nying zirun kwa 4n yako Click to expand... Naomba njia ya kufanya stop baadhi ya app nisimamishe
Mushi92 said: Usiruhusu app nying zirun kwa 4n yako Click to expand... Naomba njia ya kufanya stop baadhi ya app nisimamishe