Rais wa zamani wa Marekani

Rais wa zamani wa Marekani

ng'ombo

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
418
Reaction score
619
Rais wa 44 wa Marekani Barack Obama leo imethibitika bado anapendwa na raia wengi wa Marekani baada kufanya ziara kushtukiza na kupokewa kwa shangwe na furaha katika hospital moja katika jiji la Washington DC alipokwenda kutoa zawadi za Christmas na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika hospital hiyo.
Screenshot_2018-12-20-19-41-53-1.jpeg
Screenshot_2018-12-20-17-40-13-1.jpeg
 
Jiwe sijui itakuwaje akiondoka,nadhani kuanzia walinzi getini mpaka madkati na wagonjwa watamgomea kuona wagonjwa
 
Kwamba bila kushawishiwa na mtu yoyote na kwa akili yako timamu ndiyo umekomenti hivi,?

Ama kweli mna hoja nzito.
Jiwe sijui itakuwaje akiondoka,nadhani kuanzia walinzi getini mpaka madkati na wagonjwa watamgomea kuona wagonjwa
 
Back
Top Bottom