LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 13,525
- 18,415
hizo nchi zinaitwa washirika wa marekani. Shangaa saudi arabia, qatar na bahrain ni washirika wa marekaniwakati huo huo 90% ya mataifa ya kiislam wakiwemo uturuki wenyewe ni vibaraka wa Marekani. Hawa jamaa sijui wana akili gani