Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Rais wa shirikisho la sanaa za maonyesho Tanzania Dkt Cynthia Henjewele amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la kigamboni jijini Dar es Salaam kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Dkt Henjewele amekuwa na mchango mkubwa katika kuikuza na kuitangaza sanaa za maonyesho ambazo zimekuwa na mchango kwa watanzania katika kuongeza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Dkt Henjewele amekuwa na mchango mkubwa katika kuikuza na kuitangaza sanaa za maonyesho ambazo zimekuwa na mchango kwa watanzania katika kuongeza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.