Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Rais Trump wa Marekani: "Nimepokea taarifa muhimu za kijasusi zinazoonyesha kwamba Iran inarejesha tena uwezo wake wa nyuklia - Marekani na Israel zinafuatilia kwa karibu vitendo hivi. Iwapo Iran itaendelea na njia ya kutengeneza bomu la atomiki, tutaishambulia tena Iran. Iran ilituambia kwamba inafanya kazi ya kuzalisha nyenzo za nyuklia za kiraia, si za kijeshi lakini bado macho yetu yanatazama kwao."