Rais wa Iran Ebrahim Raisi azikwa mjini kwao Mashhad

Kafa kizembe sana.
sana,kwanza wametumia helikopta iliyoundwa miaka 40 iliyopita,na ambayo haiwezi kuruka kwenye hali mbaya ya hewa,wataalamu wa hali ya hewa ni vipi waliruhusu helikopta iruke mpaka sasa majibu hakuna.Mtu mwema sana marehemu,haluwa na makuu na hakuwa mtu wa matumizi makubwa,Mola amuweke mahala pema pema peponi.Amina
 
sana,kwanza wametumia helikopta iliyoundwa miaka 40 iliyopita,na ambayo haiwezi kuruka kwenye hali mbaya ya hewa,wataalamu wa hali ya hewa ni vipi waliruhusu helikopta iruke mpaka sasa majibu hakuna.Mtu mwema sana marehemu,haluwa na makuu na hakuwa mtu wa matumizi makubwa,Mola amuweke mahala pema pema peponi.Amina
Wanatengeneza vidrone wana vibebesha gun powder halafu wanaita mambomu, kwanini wasitengeneze vipuri vya hiyo helikopter? Wana pesa wange ibomoa na kutengeneza kila kipande mwisho wangekuwa na helkopter mpya.
 
sana,kwanza wametumia helikopta iliyoundwa miaka 40 iliyopita,na ambayo haiwezi kuruka kwenye hali mbaya ya hewa,wataalamu wa hali ya hewa ni vipi waliruhusu helikopta iruke mpaka sasa majibu hakuna.Mtu mwema sana marehemu,haluwa na makuu na hakuwa mtu wa matumizi makubwa,Mola amuweke mahala pema pema peponi.Amina
Ule msafara ulikuwa na helicopter tatu; ya Rais na nyingine mbili kama escorts. Wanahoji, ilikuwaje zile mbili ambazo probably ni inferior kuliko ile ya Rais zisiwe na shida na weather isipokuwa ile iliyo bora zaidi?
 
sana,kwanza wametumia helikopta iliyoundwa miaka 40 iliyopita,na ambayo haiwezi kuruka kwenye hali mbaya ya hewa,wataalamu wa hali ya hewa ni vipi waliruhusu helikopta iruke mpaka sasa majibu hakuna.Mtu mwema sana marehemu,haluwa na makuu na hakuwa mtu wa matumizi makubwa,Mola amuweke mahala pema pema peponi.Amina
Mtu mwema???? alijulikana kama butcher of Tehran, unajua kwanini? go educate yourself
 
Mtu mwema???? alijulikana kama butcher of Tehran, unajua kwanini? go educate yourself

Inaonekana mchangiaji hajishughulishi kabisa. Hamfahamu huyo Rais. Aliua watu maelfu. Aliwatoa wafungwe 5,000 magerezani wakaenda kuawa pamoja na majaji 6 waliowahukumu hao wafungwa, eti majaji walikosea kuwahukumu kifungo, walitakiwa kunyongwa. Na majaji nao akawanyonga. Alikuwa katili hasa. Ndiyo sababu ya kuitwa BUTCHER OF TEHRAN.
 
Back
Top Bottom