Abuwhythum JF-Expert Member Jan 7, 2015 837 494 Mar 22, 2017 #1 Hivi Rais wa chama cha walimu anapatikanaje? Na anadumu madarakani kwa muda wa miaka mingapi? Mchakato wake ni kama nilivyoona kwa Rais wa TLS? Maaanaa.......
Hivi Rais wa chama cha walimu anapatikanaje? Na anadumu madarakani kwa muda wa miaka mingapi? Mchakato wake ni kama nilivyoona kwa Rais wa TLS? Maaanaa.......
The End.. JF-Expert Member Aug 13, 2013 4,364 3,801 Mar 22, 2017 #2 asaivi kila sehemu kumeshonwa midomo... wapo kama mazombi tu..!!!