KERO GE2025 Rais Samia ni mgombea kama wengine. Watumishi na wanafunzi si mali ya CCM. TUGHE kemeeni barua za vitisho za waajiri juu ya wasiohudhuria kampeni CCM

KERO GE2025 Rais Samia ni mgombea kama wengine. Watumishi na wanafunzi si mali ya CCM. TUGHE kemeeni barua za vitisho za waajiri juu ya wasiohudhuria kampeni CCM

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
484
Reaction score
733
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM?

Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria mikutano hiyo na mahudhurio kuchukuliwa uwanjani. Hii ni kinyume na utaratibu.

TUGHE kama shirikisho huru mnapaswa kutoa kauli ya kukemea vitisho hivi. Samia ni mgombea kama Salumu Mwalimu wa CHAUMMA.

Barua zinaeeleza wasio hudhuria wajiandae kupokea bahasha kaki.
 
Tunaambiwa anapendwa sana.Cha ajabu "wanaompenda sana" wanaamrishwa kwenda kwa lazima kwenye mikutano yake.
 
Kataa kwenda upoteze ajira!
Si salary ndio inayokupa jeuri kitaa,! Kama m wanaume/ke, kweli kataa kwenda!
 
Samia hakubaliki. Jana ilimpasa kukutana na Kadinali ili kuomba poo kwa wakatoliki. Inasemekana Kadinali kamjbu yeye siyo bosi wa maaskofu wa katoliki Tanzania
Kama anajiamini aombe kukutana TEC, halafu mwandishi wao yule katibu wa TEC awepo sasa. na makovu yake ya kushambuliwa Lazima ataomba poo.
 
Watumishi na wanafunzi wote tunahaki yakwenda kumpokea na kumsikiliza Mh. Rais na KURA TUTAMPA
 
Mh. Rais anatupandisha mishahara, anatoa Elimu Bure, anatoa boom elfu 10 Kwanini tusiende kumsikiliza, tutaenda kumsikiliza na KURA TUTAMPA
 
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM?

Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria mikutano hiyo na mahudhurio kuchukuliwa uwanjani. Hii ni kinyume na utaratibu.

TUGHE kama shirikisho huru mnapaswa kutoa kauli ya kukemea vitisho hivi. Samia ni mgombea kama Salumu Mwalimu wa CHAUMMA.

Barua zinaeeleza wasio hudhuria wajiandae kupokea bahasha kaki.
Weka barua tuzione
 
Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM?

Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria mikutano hiyo na mahudhurio kuchukuliwa uwanjani. Hii ni kinyume na utaratibu.

TUGHE kama shirikisho huru mnapaswa kutoa kauli ya kukemea vitisho hivi. Samia ni mgombea kama Salumu Mwalimu wa CHAUMMA.

Barua zinaeeleza wasio hudhuria wajiandae kupokea bahasha kaki.
Wewe mwenyewe umeandika vema kabisa, RAIS SAMIA.
Je, wenginene ni Marais?

Samia ni 1. Rais
2. Amiri Jeshi Mkuu
3. Mkuu wa Serikali na mkuu wa nchi.

Hao makapuku wengine wana nini?
 
Wewe mwenyewe umeandika vema kabisa, RAIS SAMIA.
Je, wenginene ni Marais?

Samia ni 1. Rais
2. Amiri Jeshi Mkuu
3. Mkuu wa Serikali na mkuu wa nchi.

Hao makapuku wengine wana nini?
Wewe ni mpumbavu kweli. Kapuku ni wewe na jinga ni wewe. Wazazi wamezaa jinga kabisa hapa
 
Samia hakubaliki. Jana ilimpasa kukutana na Kadinali ili kuomba poo kwa wakatoliki. Inasemekana Kadinali kamjbu yeye siyo bosi wa maaskofu wa katoliki Tanzania
Kabla ya hapo Nchimbi alikua anaweka mambo sawa
 
Back
Top Bottom