PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
Rais atabadili mtizamo wa vijana kulalamika na kulaumu serikali..Nimeuona utofauti wa Rais Samia kwenye suala la Uwekezaji hana mchezo nalo kabisa.
Hapa Oman amekuja na documentary kabisa yenye full presentation ya maeneo ya kuwekeza ana Profile kabisa ya Tanzania.
Kwa Muwekezaji anachagua eneo ambalo linamvutia anakwenda kuwekeza na mambo yanafanyika.
Hana siasa nyingi ni matokeo tu na hivi ndivyo Dunia inavyokwenda.
Watakuita chawa wale watanzania wenye hamu ya kuiona nchi yao wenyewe haifanikiwi. Kuna tabaka fulani la wapuuzi sana humu mitandaoni.Nimeuona utofauti wa Rais Samia kwenye suala la Uwekezaji hana mchezo nalo kabisa.
Hapa Oman amekuja na documentary kabisa yenye full presentation ya maeneo ya kuwekeza ana Profile kabisa ya Tanzania.
Kwa Muwekezaji anachagua eneo ambalo linamvutia anakwenda kuwekeza na mambo yanafanyika.
Hana siasa nyingi ni matokeo tu na hivi ndivyo Dunia inavyokwenda.
Good point huyo kapewa bahashaKwa kuuza nchi yupo vizuri sana
Ameenda kutoa taarifa kwa waarabu wamasai anavyowafukuza waarabu waanze kusomba wanyama vizuritunauzwa
Mwambie basi aachane na waarabu, watatutesea raia.Mama ashikilie hapo hapo, mabadiliko wakati mwingine si rahisi watu kuyakubali mpaka waone impact yake.
Watu hawamuelewi kwasababu ya Upeo mdogo tu ila tunaoona mambo kwa upana huyu Mama anaupiga mwingi mnooo.
Maana nao wamezidi ulalamishi kama wanawakeNatamani Samia alete wawekezaji kwenye sekta ya ustawi wa jamii ..wanaume waje nchini wadangaji waolewe.
Hee uko Nchi gani?Maneno ni mengi kuliko vitendo
Anakuteua lini kwa huu Uchawa wako wa Kutukuka uliotuonyesha hapa? Miswahili bhana ikishiba tu Viporo hukosa Akili.Nimeuona utofauti wa Rais Samia kwenye suala la Uwekezaji hana mchezo nalo kabisa.
Hapa Oman amekuja na documentary kabisa yenye full presentation ya maeneo ya kuwekeza ana Profile kabisa ya Tanzania.
Kwa Muwekezaji anachagua eneo ambalo linamvutia anakwenda kuwekeza na mambo yanafanyika.
Hana siasa nyingi ni matokeo tu na hivi ndivyo Dunia inavyokwenda.