Rais Samia kama alichokisema Mbatia kumhusu IGP Sirro baada ya kuambiwa na Waziri Simbachawene ni kweli tafadhali mfute Kazi upesi kwani tumeshamchoka

Akifutwa kazi we unafaidika nini we mpuuzi.
Haya ndo mambo yanafanya tunaitwa Malofa na kina Mkapa.
Sioni hata kosa la Sirro ingawa siwapendi polisi.
Miafrika ndivyo tulivyo,
Unashangilia afukuzwe kazi ili iweje mjinga wewe.
Utalipwa mshahara wake akifukuzwa.
Pumbavu sana.
We kenge punguza mataputapu!
 
Back
Top Bottom