Rais Samia Awatakia Ramadhan Njema waislam wote

Rais Samia Awatakia Ramadhan Njema waislam wote

Joined
Jul 20, 2016
Posts
31
Reaction score
27
Nawatakia Waislamu wote Mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Katika mwezi huu wa ibada na toba tuendelee kuiombea nchi yetu amani, upendo, mshikamano, utulivu na haki; nguzo zenye kuleta ustawi zaidi kwa maendeleo ya nchi yetu. Ramadhan Kareem. - Dkt Samia Suluhu Hassan. #MamaYukoKazini

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ameshindwa hata kupunguza bei ya vyakula kwenye mfungo huu walau hata siku 30 walala hoi watafuturu wapi?
 
Dah,biashara yangu ya kitimoto mwezi huu mgumu sana.
 
Razadhani hii ni ngumu sana Tanzania!

Mungu awawezeshe wenzetu muwe na Ramadhani kareem
 
Alifanya hivyo wakati kwaresma inaanza?
 
Back
Top Bottom