Rais Samia atoa tsh 5,000,000 kumuenzi Chifu Mkwawa kwenye kumbukumbu ya miaka 120 ya kifo chake!

Rais Samia atoa tsh 5,000,000 kumuenzi Chifu Mkwawa kwenye kumbukumbu ya miaka 120 ya kifo chake!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Rais wa JMT mh Dr Samia ametoa Tsh 5 milioni kumuenzi Chifu Mkwawa wa Wahehe huko Kalenga Mkoani Iringa

Mchango huo ulikabidhiwa kwa Chifu Adam II Mkwawa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Yasin Daud aliyeongozana na RC Halima Dendegu

Source Mwananchi

Swela!
 
Kabla ya kuwa Makamu wa Rais, Samia alishawahi kufika mkoa gani hapa Tanganyika?
 
Sema huyu mama kama ni kutapanya pesa tu aseee anatapanya,ni kiboko yao

yani utawala huu kupewa zawadi milioni 10 kisa tu umefanya jambo flani ni kawaida mno,mwenyewe anakwambia MOTISHAAA😡
 
Mtu
Sema huyu mama kama ni kutapanya pesa tu aseee anatapanya,ni kiboko yao

yani utawala huu kupewa zawadi milioni 10 kisa tu umefanya jambo flani ni kawaida mno,mwenyewe anakwambia MOTISHAAA😡
Ametokea vicoba kwann asitapanye..
 
Back
Top Bottom