Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Kwa Utamaduni wa Watanzania Kifo kinaheshimika sana na kinachukuliwa kwa hofu na heshima kubwa sana,Nilishangaa sanasana kuona kuna Watu wanakamatwa kwa kusherehekea kifo cha Kiongozi wao Mkubwa wa Nchi na nimeendelea kufuatilia kauli za Viongozi wakubwa tu nikaona kuna zenye mwelekeo wa kushukuru Kiongozi huyo kuondoka.HII IMENISTUA NA KUNISHANGAZA SANA.
Tuwe wakweli Mzee wa Msoga aliweza kujitahidi kugusa Maisha ya watu ingawa wabongo hawasemi hadi siku mtu akiondoka,kwa unafiki sasa hivi wanamponda ila naomba mreserve maneno yangu siku Mzee wa Msoga akiondoka ndiyo mtajua kwa kiasi gani alikuwa anapendwa na kagusa Maisha ya watu na Makundi mengi ya Watanzania.
Ukiacha unafiki wa Watanzania na Siasa na mambo mengine ya Udini,Jinsia,Ukanda nk.Trend anayokwenda nayo Mama Samiah ni ya kugusa Mioyo ya Watu na anatumia Vizuri Karama hiyo aliyopewa na Mungu kuponya majeraha na kugusa Watanzania Wengi.
Ninachokiona akiendelea kwa kasi hii huko mbele huenda akawa Rais kipenzi cha Watanzania kuwahi kutokea.
Kongole kwa Washauri wa Mhe.Rais mnaupiga mwingi mno na mnampatia sanasana,endeleeni kuumiza Vichwa Mama anaingia Mioyoni vizuri sana.
Hii hoja ni kwa Maslahi ya Taifa kumsapoti Pascal Mayalla ,Genge mkiingia hapa mtachezea Block.
Tuwe wakweli Mzee wa Msoga aliweza kujitahidi kugusa Maisha ya watu ingawa wabongo hawasemi hadi siku mtu akiondoka,kwa unafiki sasa hivi wanamponda ila naomba mreserve maneno yangu siku Mzee wa Msoga akiondoka ndiyo mtajua kwa kiasi gani alikuwa anapendwa na kagusa Maisha ya watu na Makundi mengi ya Watanzania.
Ukiacha unafiki wa Watanzania na Siasa na mambo mengine ya Udini,Jinsia,Ukanda nk.Trend anayokwenda nayo Mama Samiah ni ya kugusa Mioyo ya Watu na anatumia Vizuri Karama hiyo aliyopewa na Mungu kuponya majeraha na kugusa Watanzania Wengi.
Ninachokiona akiendelea kwa kasi hii huko mbele huenda akawa Rais kipenzi cha Watanzania kuwahi kutokea.
Kongole kwa Washauri wa Mhe.Rais mnaupiga mwingi mno na mnampatia sanasana,endeleeni kuumiza Vichwa Mama anaingia Mioyoni vizuri sana.
Hii hoja ni kwa Maslahi ya Taifa kumsapoti Pascal Mayalla ,Genge mkiingia hapa mtachezea Block.