Rais Samia akipiga Bastola akizindua Makao Makuu Ulinzi wa Taifa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, Rais Samia amezindua rasmi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa yaliopo Kikombo jijini Dodoma kwa tukio la kupiga Bastola angani.

Jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa ambalo pia ndiyo Makao Makuu ya JWTZ na Wizara ya Ulinzi. Jiwe la Msingi liliwekwa 2019 na Rais Magufuli.

Ujenzi umefanywa na kikosi kazi cha Jeshi kilichoongozwa na Kanali Eng. Zabron Mahenge. Ujenzi na samani umegharimu Bilioni 121.

Your browser is not able to display this video.
 
Aisee nimemuangali huyo Bibi kachokaaaaa...Uso hauna nuru.. .kakondaaa..... Yani pamoja na kujijaladia bullet Proof ila kakondeana......Atakufa kwa stress wallah
 
Speculative analysis yangu Sasa ndio hatari :-

1.America na co plus ICC hawatufanyi kitu,tumejipanga sisi sio kina Maduro!wajichanganye waone!!kwanza tuna makomando wenye kupasua matofali Kwa vichwa!!

2.Mimi mwenyewe najua kutumia bastola atakejichanganya nammwaga ubongo miye!!

3.Tanzania no nchi huru hatupangiwi na mtu yeyote!

Halafu anamalizia Kwa kishindo

"KAZI na utu,tunasonga mbele na Bastola mikononi"!!

NB

Maonyesho haha yangekua na tija kama ingepigwa demo Moja mpakani kama enzi za mkapa,kipindi Cha mzozo wa malawi!!

Madege ya kivita yangerindima kama mbayu wayu!!

Kwakweli wanaomshauri Rais wetu ni jau sana!!

MTEGO WA KESI YA UHAINI YA LISU UNHE SOLVE KWA KUWATOA MHANGA BAADHI YA WATU AMBAO WALISHAWISHI AU WANA MAMLAKA KWAMBA WAMEHUJUMU JAMUHURI NA KUIDHALILISHA KWA KUWASHTAKI WASIO NA HATIA!UNHEMUACHIA LISU NA HAO WAENDE LUPANGO KWA MUDA WAKATI MARIDHIANO YANAFANYIKA!!

NADHANI!
 
Hadi chawa Leo umeamua kutoa mlio "Kiaina"?

Kweli nchi inarudi kwenye default mode soon.

Ila tatizo mnapokosea nyie chawa mnaong:ata na kupuliza ni hapo mnaposemaga "wanaomshauri Rais...." Why mnaogopa kusema Rais ni mediocre. Hakustahili kuongoza hii nchi kwa sababu ni taasisi iliyomzidi uwezo?

Huu ukweli mtakuja kuusema lini?
 
Unafikiri mi ni.chawa!!?

Mimi ni mwanamatengenezo !hata huo upinzani una dosari nyiingi!hata huyo Lisu ana trauma ya kuaminiwa kupewa dola aiongeze!!

Bora hata Mnyika anaweza ku deliver pasipo mihemko!!Bado CCM tuna misingi mizuri no kusema Kuna wahuni wengi wameteka chama na ku deal nao inahitaji akili kubwa!!sionmihemjlko kama kina jpm na co!!

Maamuzi ya Rais Kwa kawaida Yana watu wanao sapoti maamuzi yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…