Rais Samia aache siasa, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
3,398
2,990
Wapo wachumi wengi mashuhuri duniani ambao wamefanya tafiti juu ya impact of foreign aid on economic growth. Wamefanya hivyo kwa kuangalia data za kipindi kirefu. Kwa mfano, wapo walioangalia data za takribani decades tatu (kuanzia miaka ya 1960s mpaka miaka ya 1990s). Many economists noticed that an influx of foreign aid did not seem to produce economic growth in countries around the world.

Specifically, in analyzing the data from Africa, they noticed that, even as the level of foreign aid into Africa soared through the 1980s and 1990s, African economies were doing worse than ever, as the chart below, from a paper by economist Bill Easterly of New York University, shows.

IMG_0055.jpg

Chief Hangaya lazima awe mkweli kwa Watanzania. Development starts with an ability to do things on your own. If you don’t unlock and nurture this ability, there’s no such thing as developing. Utegemezi wa misaada haukutusaidia hapo kabla na hautatusaidia kipindi hiki. We cannot afford to be full-time beggars. Uombaomba sio kitu cha kujivunia wala kusherehekea. Ni kosa kubwa kuwaaminisha Watanzania kwamba, bila misaada, hatuwezi kuendelea. Tafiti hazioneshi hivyo!

What differentiates rich people from poor ones is the ability to make money, not the ability to spend money. Watanzania lazima tuukubali ukweli mchungu kwamba foreign aid money won’t help us buy economic growth.

Kitu kingine ambacho hao wachumi walikiona, kwa kuangalia data za kuanzia 1970 mpaka 2008, ni kwamba nchi zenye resources lukuki ndiyo nchi zenye slower growth kuliko zenye resources kidogo (as the chart below shows).
IMG_0056.jpg


Zipo nadharia kadhaa kuelezea hali hii ambayo watafiti wameiita “natural resource curse”. Moja ya hizo nadharia ni migogoro isiyoisha. Inaaminika kwamba migogoro mingi hufadhiliwa (kwa njia moja au nyingine) na mataifa yaleyale vinara wa kutoa foreign aid. Looting by those foreign powers becomes easier when resource-rich countries are embroiled in civil wars!

Nimalize kwa kusema, short-term political scores za kuwasaidia wanasiasa kubaki madarakani ni mzigo mzito kwa vizazi vya taifa hili na vya Africa kwa ujumla. Ni rai yangu kwamba wanasiasa waache ubinafsi wao kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo!
 
Wapo wachumi wengi mashuhuri duniani ambao wamefanya tafiti juu ya impact of foreign aid on economic growth. Wamefanya hivyo kwa kuangalia data za kipindi kirefu. Kwa mfano, wapo walioangalia data za takribani decades tatu (kuanzia miaka ya 1960s mpaka miaka ya 1990s)....
Naomba nitofautiane kidogo na wewe, tatizo hasa nilionalo mimi ni je mkopo husika unafanya shughuli gani hasa? Kama tunakopa ili kujiongezea uwezo wa kufanya mambo yetu wenyewe ya kimaendeleo sioni kama kuna tatizo.

Tatizo linaloigharimu Africa kama ulivyosema ni ubinafsi wa viongozi wetu. Maana hata Nchi za Asia na latin America zinakopa lakini usimamizi wa hizo fedha za mikopo ndiyo laana tuliyonayo Afrika.
 
Wapo wachumi wengi mashuhuri duniani ambao wamefanya tafiti juu ya impact of foreign aid on economic growth. Wamefanya hivyo kwa kuangalia data za kipindi kirefu. Kwa mfano, wapo walioangalia data za takribani decades tatu (kuanzia miaka ya 1960s mpaka miaka ya 1990s)...

YOU HAVE HIT THE NAIL ON THE HEAD. I HOPE THEY WILL UNDERSTAND. Unfortunately, washauri wake Hangaya wa uchumi ni bado wachanga hawana confidence ya kuweza kumwambia ukweli ambao hataki kuusikia; kwani yeye anaangalia uchaguzi ujao itakuwaje badala ya kuangalia long term intrests za nchi!!
 
Nanukuu Kwa tafsiri maelezo yake, "Nilipokuwa Ufaransa, waliniuliza hivi hamuwezi mkawa na zile gari za kasi (tramway) pembezoni mwa barabara za mwendokasi?, Kwa hiyo Hilo nalo tukajadiliana, wakaahidi kutusaidia, na huko mbeleni mnaweza mkaja kuona na sisi tunakuwa na "tramways", tuwe kama Ulaya.
Mwisho wa nukuu isiyo rasmi.

Sasa nawauliza swali.
TUNA NCHI HAPO?

Yani unaenda Ulaya, mkuu wa nchi, unachomekewa hoja ambayo hujawahi kuwaza, huku una hoja zako nzito, unadandia mnaendelea kujadili. Tukisema sana tunaitwa ma.G.A.I.D.I,

Ila wakuu tukubalini hapa 'Tumepigwa'.
 
Wapo wachumi wengi mashuhuri duniani ambao wamefanya tafiti juu ya impact of foreign aid on economic growth. Wamefanya hivyo kwa kuangalia data za kipindi kirefu. Kwa mfano, wapo walioangalia data za takribani decades tatu (kuanzia miaka ya 1960s mpaka miaka ya 1990s)...
Nchi imekuwa kama NGO ambayo kila siku unawaza namna ya kuomba misaada ya mikopo very sad, hii nchi kila mtu basi anaweza kuiongoza, maana utatumia utashi ule ule wa waliopita kuomba misaada ya mikopo kwa waisani.

Madhara yake watayapata wajukuu zetu na vitukuu vyetu nchi itakuwa na madeni ya ajabu ajabu, tena mbaya zaidi misaada inatolewa kwa masharti, mtamkumbuka Ndugai siku moja kwamba aliona mbali na alikuwa anasema kweli ile kauli yake 'nchi itauzwa hii siku moja'
 
Naomba nitofautiane kidogo na wewe, tatizo hasa nilionalo mimi ni je mkopo husika unafanya shughuli gani hasa? Kama tunakopa ili kujiongezea uwezo wa kufanya mambo yetu wenyewe ya kimaendeleo sioni kama kuna tatizo. Tatizo linaloigharimu Africa kama ulivyosema ni ubinafsi wa viongozi wetu. Maana hata Nchi za Asia na latin America zinakopa lakini usimamizi wa hizo fedha za mikopo ndiyo laana tuliyonayo Afrika.

Nchi yetu sio masikini kihivyo. Tatizo letu ni kwamba viongozi wetu hawaamini kuwa tunaweza kutumia resources zetu to leverage such that hatulazimiki kukopa!!

Tunafikira kuwapa hao wawekezaji vivutio lukuki na mwisho wa siku faida tunayopata haishabihiani na faida hawa wawekezaji wanayovuna toka kwenye nchi yetu!! Tunafanya maamuzi bila kuwa na tafakuli ya kina kwani viongozi wanaweka mbele political inrerests zao at the expense of economic prosperity ya nchi na watu wake.

Mfano mzuri ni jinsi tunavyomanage Bandari zetu. Kama tungekuwa tunasimamia utendaji mzuri wa hizi bandari na jinsi nchi yetu ilivyokuwa postioned sidhani kama tungelazimaka kuwa omba omba kama tulivyo sasa.

Kuna mapungufu mengi yanayosababisha nchi kupoteza mapato ambayo yanaendekezwa na political interests ikiwemo kuteua management not based on MERITOCRACY bali nepotism!!! Sasa kama mapungufu kama haya yakiondolewa kwenye Nyanja nyingi za uchumi wa nchi, utegemezi utapungua sana.
 
Naomba nitofautiane kidogo na wewe, tatizo hasa nilionalo mimi ni je mkopo husika unafanya shughuli gani hasa? Kama tunakopa ili kujiongezea uwezo wa kufanya mambo yetu wenyewe ya kimaendeleo sioni kama kuna tatizo. Tatizo linaloigharimu Africa kama ulivyosema ni ubinafsi wa viongozi wetu. Maana hata Nchi za Asia na latin America zinakopa lakini usimamizi wa hizo fedha za mikopo ndiyo laana tuliyonayo Afrika.

Hushangai kwanini nchi fulani, kwa kiasi kikubwa, zimekuwa isolated for decades, lakini zimepiga hatua kuliko sisi ambao kutembeza bakuli imekuwa kama jadi yetu? Mfano mzuri ni Cuba. Kuendelea ni kujenga uwezo wa kufanya mambo on your own. Fuatilia hata maisha ya mtu mmoja mmoja. A spoiled child is less likely to succeed in life!
 
Wapo wachumi wengi mashuhuri duniani ambao wamefanya tafiti juu ya impact of foreign aid on economic growth. Wamefanya hivyo kwa kuangalia data za kipindi kirefu. Kwa mfano, wapo walioangalia data za takribani decades tatu (kuanzia miaka ya 1960s mpaka miaka ya 1990s)...
Ubaya unaenda kukopa harafu mkopwaji anakupangia chakufanyia huo mkopo,eti tumekopa tillion 1.5, kufanya mji wa Pemba na Tanga kuwa green,vitu vya hovyo kabisa.
 
Ni ujinga. Tanga, hiyo Bumbuli tu haina barabara..ya lami % 90.
Wanakopa hela kuifanya kijani. SMH
Harafu eti watanganyika tusimame tukijipiga vifua eti tunaye rais makini,eti anakopa tillion kugeuza miji 3 green, wakati kazi hizo zinafanywa na wakuu wa mikoa na wilaya kwa kiamashisha wananchi,mashule na tasisi kupanda miti wakati mvua zikinyesha.
 
Mwendokasi wenyewe hatujamaliza, hapo hapo tunarukia tram , wachumi hawaoni kwamba hapo tunadumaza maendeleo yetu na kujitwika mizigo zaidi. Tumalize kitu kimoja ndio udandie kitu cha mbele zaidi.
 
Kujitegemea wameshindwa marais wote watano waliomtangulia SSH, walifanya juhudi zipi za makusudi za kuupiga vita utegemezi?.

Tunapiga siasa tu za kujitegemea huku miaka inakwenda kwa kasi. Wa kunyooshewa vidole ni hulka zetu za kila siku ndizo zinatutia umaskini.

Kunyoosheana vidole ni kutafuta wa kumlaumu, lawama ni ya wote hii.
 
Kujitegemea wameshindwa marais wote watano waliomtangulia SSH, walifanya juhudi zipi za makusudi za kuupiga vita utegemezi?.

Tunapiga siasa tu za kujitegemea huku miaka inakwenda kwa kasi. Wa kunyooshewa vidole ni hulka zetu za kila siku ndizo zinatutia umaskini.

Kunyoosheana vidole ni kutafuta wa kumlaumu, lawama ni ya wote hii.

Tunatokaje hapa? Just stay the course mpaka miracle itokee?
 
Back
Top Bottom