Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,293
Nimeangalia TBC 1 leo usiku saa 2:00pm tarehe 7/01/2011 kwakweli mimi ni mtanzania na pia namjua raisi niliye mchagua mwaka 2005/sio mwaka 2011! lakini kwa sura niliyoiona ya JK kweli kabisa hana raha na maisha anayoishi pale ikulu hata sura ukiiangalia utaona kuna kitu kinamsuta na amenyong'onyea! kama wenzangu mmeangalia pale akiwa anapongezwa na wale mabalozi wa nnchi mbalimbali ambao JK aliwaalika utaona kuna taswira fulani kwenye macho yake! hakika si yule Jakaya Mrisho Kikwete niliye mjua mwaka 2005! natanguliza hoja wana JF!