msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,141
Kwanza Naomba kuuliza...
Je, mishahara wanayolipwa ni kodi zetu.?
Kama ndiyo, kwanini wanafanya kazi kama wanajitolea?
Walifuta Mfumo Wa Wanafunzi Wa Diploma Kuomba Kujiunga Vyuo Vikuu Kupitia Nacte.
Kwa kujitutumua kabisa wakasema inabidi wanafunzi hao waombe kupitia TCU na wakaandika kwenye Website yao kwamba wataanza kuruhusu maombi 31st Of July..
Ilipofika 31-July, Wanafunzi hao wakataharuki kukuta Tangazo Lingine Lililoandikwa Watafungua Tarehe 8 Mwezi Wa 8 (Yaani jana)..
Lakini Cha Kushangaza ni kwamba Mpaka Leo Haijafunguliwa Na Bado Tangazo Linasomeka Kuwa Itafunguliwa Tarehe8 Mwezi Wa8..
Kama picha inavyoonesha hapa chini..
Sasa TCU wana maana gani kwa hili wanalofanya.?
Na ofisini wanafanya nini.?
ina maana Magufuli hajaambiwa kuhusu hili na wasaidizi wake.?
Na Mama Ndalichako?
Je, mishahara wanayolipwa ni kodi zetu.?
Kama ndiyo, kwanini wanafanya kazi kama wanajitolea?
Walifuta Mfumo Wa Wanafunzi Wa Diploma Kuomba Kujiunga Vyuo Vikuu Kupitia Nacte.
Kwa kujitutumua kabisa wakasema inabidi wanafunzi hao waombe kupitia TCU na wakaandika kwenye Website yao kwamba wataanza kuruhusu maombi 31st Of July..
Ilipofika 31-July, Wanafunzi hao wakataharuki kukuta Tangazo Lingine Lililoandikwa Watafungua Tarehe 8 Mwezi Wa 8 (Yaani jana)..
Lakini Cha Kushangaza ni kwamba Mpaka Leo Haijafunguliwa Na Bado Tangazo Linasomeka Kuwa Itafunguliwa Tarehe8 Mwezi Wa8..
Kama picha inavyoonesha hapa chini..
Sasa TCU wana maana gani kwa hili wanalofanya.?
Na ofisini wanafanya nini.?
ina maana Magufuli hajaambiwa kuhusu hili na wasaidizi wake.?
Na Mama Ndalichako?
