Rais Mstaafu ABOUD JUMBE

Picha kama hii inakufanya unaanza kuwonder kama mzungu angebakia mpaka Leo Tanzania ingekuwa katika hali gani!!
Mmmmh... Kumbe naye alikuwa anapenda kucheza michezo kama hii kama Vasco wetu...
Kumbe usanii ulianza zamani tu!
 
Pole sana Mzee A Jumbe!hivi akikutana na Maalim Seif wanasalimianaje?maana Maalim ndie aliemsemea kwa JKN hadi akatemwa na akapewa WK ndugu Seif S Hamad.kweli kikulacho....
 
Picha kama hii inakufanya unaanza kuwonder kama mzungu angebakia mpaka Leo Tanzania ingekuwa katika hali gani!!

Mmmmh... Kumbe naye alikuwa anapenda kucheza michezo kama hii kama Vasco wetu...
Kumbe usanii ulianza zamani tu!
Huo ulikuwa ni ufunguzi wa Karikoo, Eneo la burudani kwa watoto. Ujenzi wake ulitokana na mapato ya karafuu na sio wazungu
 
Picha kama hii inakufanya unaanza kuwonder kama mzungu angebakia mpaka Leo Tanzania ingekuwa katika hali gani!!
ndugu hizi bembea hazikujengwa na wazungu....alijenga mwenyewe jumbe kule znz na pemba ni viwanja vya kufurahishia watoto
 
Huo ulikuwa ni ufunguzi wa Karikoo, Eneo la burudani kwa watoto. Ujenzi wake ulitokana na mapato ya karafuu na sio wazungu
Bado nashangaa!!!
Kama ni burudani za watoto mbona iliyopanda humo yote ni minjemba tu?!
Hata wanaoshangaa sioni watoto...
 
huyo hakustaafu alitekwa na kuhifadhiwa humo kigamboni mpaka leo hii kisa muungano mavi unaotusumbua mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…