Jamani habari za uhakika, Prof Kahigi amechukua jimbo la Bukombe sasa hivi wasumbwa wanakesha wakilewa, Dada yangu Regia Mtema anaongoza vituo vingi vya Ifakara Mjini hadi Mlimba, na Prof Mlambiti Kule Malinyi anachuana vikali na Dr Hadji Mponda, Kifupi jimbo linaenda CHADEMA jamani mabadiliko hayooooooooooooooooooooooooooooooooo